Contact Us | FAQ | Mails | Complaints |

Welcome Note

profile

Dr Gilbert Kwesi
Mganga Mfawidhi

Karibu Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Njombe kwa huduma bora kutoka kwa madaktari wabobezi...

Read more

Our Services All

 Hospitali ya Rufaa ya mkoa wa Njombe, wagonjwa tunaowahudumia ni wa Rufaa na tunafanya upasuaji wa dharura na uliopangwa.

 Huduma tulizonazo ni pamoja na :

  • upasuaji mkubwa ( laparatomy)
  • mshipa maji ( hydrocelle)
  • mshipa ngili (Hermia) zote
  • ...
readmore

 Ni Idara ambapo wagonjwa wa hali mbalimbali za matibabu au upasuaji ambao wanavyo vigezo vya uandikishaji wanapewa malazi .  IPD ina sehemu zifuatazo na huduma za matibabu, upasuaji, magonjwa ya watoto, magonjwa ya wanawake, kabla ya kuzaa na baada ya ku...

readmore

Events All

Patient Visiting hours

Jumatatu-Ijumaa

  • From 06:00 to 07:15
  • From 12:00 to 13:00
  • From 04:00 to 05:00

Jumamosi-Jumapili

  • From 06:00 to 07:15
  • From 12:00 to 13:00
  • From 04:00 to 05:30

Today's Clinics All

health education All

FAHAMU KUHUSU UGONJWA WA HOMA YA INI

UGONJWA WA HOMA YA INI (HEPATITIS) : MAMBO MUHIMU YA KUFAHAMU

Ini ni kiungo muhimu sana ndani ya miili yetu, hufanya kazi zaidi ya 500 ; moja ya kazi ni kuchuja na kuondoa sumu kutoka kwenye damu.

Kutokana na sababu mbalimbali kama pombe iliyopita k...

read more
FAHAMU KUHUSU UGONJWA WA EBOLA

FAHAMU KUHUSU HOMA YA EBOLA

Ugonjwa wa Homa ya Ebola ni ugonjwa wa hatari unaosababishwa na virusi vya ebola. Ugonjwa huu ni miongoni mwa magonjwa ya milipuko yajulikanayo kama homa za virusi vinavyo sababisha kutoka damu mwilini.

Kuna aina tano za ...

read more
FAHAMU JINSI YA KUJIKINGA NA VIRUSI VYA CORONA

VIRUSI VYA CORONA NI NINI?

Kuna vimelea vingi vya magonjwa duniani kote kama Bakteria , Virusi ,Fangi ,Protozoa na Parasaiti

Aghalabu katika makundi yote haya Kuna aina za vimelea ambavyo huwa hatarishi mno na huua haraka wanyama wanyonyeshao na nde...

read more

Ministry Content All