Contact Us | FAQ | Mails | Complaints |

MAADHIMISHO YA SIKU YA WAUGUZI DUNIANI - NJOMBE

Posted on: May 11th, 2022

Maadhimisho ya siku ya wauguzi duniani mkoani Njombe yamefanyika katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Njombe Tarehe 12/05/2022

Katika siku yao hii Wauguzi, wakiongozwa na Mgeni Rasmi pamoja na Mganga Mfawidhi walitembelea wagonjwa wodini na kuwapa zawadi mbalimbali.